top of page
Search

TFF Yamteua Kim Poulsen Raia wa Denmark kuwa Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania

  • mwanzos12
  • Feb 15, 2021
  • 1 min read

ree

Leo Februari 15, 2021 Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Limemteua

Kim Poulsen raia wa Denmark kuwa Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Poulsen anachukua nafasi ya kocha Ettiene Ndayiragije. Kim Poulsen alishawahi kuwa Kocha wa Taifa Stars mwaka (2012-2014).


ree

 
 
 

Comments


UntitledPost (5).jpg

MwanahabariOnline

GAZETI LA KILA MWEZI 

Powered by

Diaspora

  • Facebook
  • Instagram
  • Twitter

© 2025

bottom of page