top of page
Search

Dar es salaam: Waziri Mkuu atembelea mabasi mapya ya Mwendokasi

  • johnwengwi
  • Aug 13
  • 1 min read

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametembelea mabasi mapya ya Mwendokasi, pamoja na kukagua baadhi ya vituo vya Mwendokasi vilivyopo Mbagala na Gerezani. Waziri Mkuu ametembelea mabasi hayo leo tarehe 13/08/2025.


Aidha, amekagua maendeleo ya ujenzi wa kituo cha kujazia gesi kinachoendelea kujengwa Mbagala.


Hivi karibuni huduma mpya za Mwendokasi zitaanza rasmi.


ree


ree


ree

 
 
 

Comments


UntitledPost (5).jpg

MwanahabariOnline

GAZETI LA KILA MWEZI 

Powered by

Diaspora

  • Facebook
  • Instagram
  • Twitter

© 2025

bottom of page